Anza kunyonyesha baada ya saa moja ya kuzaa (unyonyeshaji wa mapema)
Usimptie mtoto chochote isipokuwa maziwa ya mama kwa miezi sita ya kwanza (unyonyeshaji wa kipekee)
Usimwage maziwa ya kwanza ya mama baada ya kuzaa, huwa na protini na kingamwili ambayo ni muhimu kwa mtoto mchanga. Unapaswa kumwambia mama amlishe nayo mtoto mchanga, kwa sababu ni ‘chanjo’ ya kwanza ambayo mtoto atapata.
Keti kwa hali nzuri wakati unanyonyesha
Hakikisha mtoto anapata vizuri matiti ya mama anaponyonya
Hakikisha mtoto ananyonya vizuri
Source: Open Education Website
Link: https://www.open.edu/openlearncreate/mod/oucontent/view.php?id=53442&printable=1