Ndio, ni salama kuendelea kunyonyesha mtoto baada ya kupata chanjo ili kuendela kumlinda mtoto.
Hakuna chanjo yoyote iliyothibitishwa na shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO ambayo inatumika yenye virusi hai, kwa hiyo hakuna hatari ya kusambaza virusi kupitia unyonyeshaji.
Source: UN News